Diamond Platinumz ataungana na mastar wengine wa afrika kuhudhuria tuzo za Afrimma,Texas Marekani July 7 2014.

Diamond Platinumz atakuwa ni msanii pekee wa Tanzania atakayeungana na wasanii walio kwenye orodha  A, katika kuhudhuria  utoaji wa tuzo za Africa Music Magazine(Afrimma) zitakazofanyika Jumamosi  July 26,Eisemann Center,Texas nchini Marekani.
Tuzo hizo zilizoandaliwa na African Muzik Magazine na Big A Entertainment zimelenga hasa katika kuwatunuku wasanii mbalimbali wakubwa wa Afrika waliopo duniani kote na itagusa nyanja mbalimbali za burudani.

Bright Okpocha aka Basket Mouth ambaye mchekeshaji maarufu wa Nigeria  na mrembo wa Nollywood  Juliet Ibrahim (Ghana) watakuwa washereheshaji wa tuzo hizo. 


Share on Google Plus

About IF YOU DON'T KNOW NOW YOU KNOW

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment