#NEWS: FID Q AMPENDEKEZA MR.BLUE KUFANYA KOLABO NA T.I

Mwimbaji wa Muziki wa Hip Hop hapa nchin Farid Kubanda maarufu kwa jina la Fid Q jana wakati akipiga story na Aplifaya alisema kauwa ingetokea T.I kakubali kolabo na Mtanzania, basi kama Ngwea angekuwepo angefaa lakini kutokana na hilo nafasi hiyo Fid Q kampendekeza Mr Blue
Share on Google Plus

About IF YOU DON'T KNOW NOW YOU KNOW

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment