#Tambua : Vijana Wanaofata Nyayo za baba zao kwenye Soka

3


Diego Poyet, mwenye umri wa miaka 19, huyu ni mtoto wa Gus Poyet
4
Joe van der Sar, mwenye umri wa miaka 16, huyu ni mtoto wa golkipa wa zamani wa kimataifa wa Uholanzi Edwin van der Sar.
5
Devante Cole mwenye umri wa miaka 19, anachezea Man City, mtoto wa nyota wa zamani wa England Andy Cole.
6
Watoto wa gwiji wa  timu ya taifa ya Ufaransa na vilabu vya Juventus pamoja na Real Madrid Zinedine Zidane, Enzo Zidane mwenye umri wa miaka 19 pamoja na Luca Zidane, mwenye umri wa miaka 16 wanachezea Real Madrid
7
Justin Kluivert, mwenye umri wa miaka 15, mtoto wa Patrick Kluivert anayechezea Ajax
8
9
Niall Keown, mwenye umri wa miaka 19, anachezea Reading  mtoto wa Martin Keown.
10
Rivaldinho, mwenye umri wa miaka 19 anachezea timu ya Mogi Mirim  huyu ni mtoto wa mkongwe wa timu ya ya taifa ya Brazil , Rivaldo
2
Tom Ince, mtoto wa Paul Ince
Share on Google Plus

About IF YOU DON'T KNOW NOW YOU KNOW

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment