#NEWS Je, Ni kweli Jose Chameleone Kafilisika?

Inavyosemeneka Mwanamuziki nguli na mwenye umaarufu afrika mashariki Jose Chameleone amefilisika, tetesi hizi zimeenea nchini Uganda kua jose alijaribu kujiingiza katika biashara ya madini ya dhahabu na ndio sababu ya watu kudai amefilisika...... Je ni kweli Jose Chameleone kafulia?
Share on Google Plus

About IF YOU DON'T KNOW NOW YOU KNOW

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment