#NEWS : Amini kuanza kufanya muziki wa asili

Amini, staa ambaye anarejea katika muziki kwa kishindo na mabadiliko makubwa akiwa chini ya usimamizi mkubwa, amesema kuwa safari hii ameamua kuuchukua muziki wa kitanzania wa Mchiriku kwaajili ya kufikisha ujumbe wake kwa mashabiki.

Amini ambaye wiki hii anaachia ngoma mpya inayokwenda kwa jina Mbeleko, amesema kuwa miziki mingi ya sasa hivi inakuwa ni ya kuiga mahadhi ya nnje, tofauti na yeye ambaye ameamua kurudi nyumbani zaidi na kuchagua ladha ambayo inaeleweka na watu wengi katika ngazi mbalimbali za kimaisha.
Share on Google Plus

About IF YOU DON'T KNOW NOW YOU KNOW

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment