#NEWS : Peter Okoye wa P- square aomba msamaha kwa drama aliyofanya mitandaoni..

Baada ya Peter Okoye wa P-Square ku tweet kuhusiana na kutompenda kaka yao 'Jude Okoye' ambaye pia ni meneja ya wa sanii hao 'Peter wa P-Square athibitisha kuwepo tofauti kati yao na meneja wao ambaye ni kaka yao mkubwa', Kitendo ambacho kilizua mzozo baina ya mapacha hao Peter Okoye na Paul Okoye 'Huu ndio mwisho wa P-Square? Warushiana vijembe Instagram'.
Peter aomba msamaha kupitia Instagram nakuandika "I am not perfect i make mistakes, and it hurts people. But when I say sorry I mean it. I am so SORRY for my actions. I sincerely apologize..." Pia post hiyo akairudia kwa maneno kwenye mtandao wa Twitter.

Share on Google Plus

About IF YOU DON'T KNOW NOW YOU KNOW

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.

0 comments:

Post a Comment