Msanii huyo wa RnB amekuja kuteka mioyo ya kina dada kwa muonekano na sauti yake nyororo. Ameleta ladha mpya ya RnB na kipaji chake cha kipekee kinaweza kumvutia mdada yeyote kwake. Wanangu wafungieni mademu zenu ndani! Ngoma yake na video inaashiria fika kuwa kuna matarajio makubwa kwa yeye kufikisha RnB ya Tanzania kwenye matawi ya juu.
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment